......

......
 

Nakshi255 Nakshi255 Author
Title: Mkurugenzi wa On Point Solutions Ltd, Bwana Bahati Singh
Author: Nakshi255
Rating 5 of 5 Des:
Mkurugenzi wa On Point Soulutions Ltd  Bwana Bahati Singh ameujuza mtandao huu kua maandalizi ya tamash la Coast nite yanaendelea vizu...

Mkurugenzi wa On Point Soulutions Ltd  Bwana Bahati Singh ameujuza mtandao huu kua maandalizi ya tamash la Coast nite yanaendelea vizuri na muda si mrefu kampeni za tamasha hilo zitaanza, tamasha hilo linatarajiwa  kufanyika hapa nchini kwa mara ya kwanza j’mosi tarehe 1/8/2015 katika ufukwe wa escape 1 Mikocheni tamasha hilo ufanyika kila mwaka mjini Nairobi (Kenya) kwa kuzishilikisha bendi za taarab toka Tanzania bendi zilizoshiliki kwenye tamasha  hilo mjini Nairobi mpaka sasa ni Zanzibar star, Melody, Tot taarab, Mashauzi Classic na Dar modern.

About Nakshi255

Advertisement

Post a Comment

 
Top