v
ameujuza mtandao huu kua kampeni za tamasha la
COAST NITE na ujio wa THEM MUSHROOMS
BAND toka Kenya,
zinatalajiwa kuanza baada ya sikukuu ya Idd katika tamasha hilo bendi za The East African Melody na Dar Modern Taarab ni miongoni mwa bendi zitakazo toa burudani siku ya tamasha hilo linalotalajiwa
kufanyika j’mosi ya tarehe1/8/2015 Escape 1 Mikocheni kwa viingilio vya tiketi za awali TZs 10,000/=, VIP 20,000/= na mlangoni TZs 15,000/=, na VIP 25,000/= na kusema onyesho litaanza saa 2 Usiku.
Bw Bahati amesema hii si yakukosa uku akisisitiza “KOSA UCHEKWE”
zinatalajiwa kuanza baada ya sikukuu ya Idd katika tamasha hilo bendi za The East African Melody na Dar Modern Taarab ni miongoni mwa bendi zitakazo toa burudani siku ya tamasha hilo linalotalajiwa
kufanyika j’mosi ya tarehe1/8/2015 Escape 1 Mikocheni kwa viingilio vya tiketi za awali TZs 10,000/=, VIP 20,000/= na mlangoni TZs 15,000/=, na VIP 25,000/= na kusema onyesho litaanza saa 2 Usiku.
Bw Bahati amesema hii si yakukosa uku akisisitiza “KOSA UCHEKWE”
Post a Comment