......

......
 

Nakshi255 Nakshi255 Author
Title: COAST NITE 2010 NAIROBI
Author: Nakshi255
Rating 5 of 5 Des:
Wapenzi   wa burudani waliojitokeza   kwenye tamasha la Coast Nite jijini Nairobi wakifurahia kwa kunyoosha mikono juu wakati bendi y...


Wapenzi  wa burudani waliojitokeza  kwenye tamasha la Coast Nite jijini Nairobi wakifurahia kwa kunyoosha mikono juu wakati bendi ya New Zanzibar Star ikitoa burudani mwaka 2010 wakati bendi hiyo Iliposhiriki katika tamasha hilo la Coast Nite. Wa-Tanzania kaeni tayari kwani tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza hapa nchini mwaka huu siku ya Jumamosi tarehe 1/8 Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam...(KOSA UCHEKWE)

About Nakshi255

Advertisement

Post a Comment

 
Top